PICHA ZA WANA USCF-SJUT KATIKA TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

MGENI RASMI AKIBARIKI DVD ZA ALBAMU YA" MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO"(kulia)TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

SHEREHE YA KUWAAGA WAHITIMU WANAKWAYA 24 JULY, 2015.

Uongozi wa the New Jerusalem choir ya USCF-CCT St. John's University of Tanzania Tunapenda kuwashukuru wote mliojumuika pamoja nasi kuwaaga wanakwaya wahitimu walionza masomo yao mwaka 2011 na 2012,

KUTIMIA KWA UNABII WA NYAKATI ZA MWISHO

Dalili ya Mvua ni mawingu, hivyo kwa mtu mwenye busara, aliyeanika nguo zake nje anapoona tu mawingu yametanda kila mahali, anajua kwamba mvua wakati wowote inaweza kunyesha, na hakika atafanya haraka kwenda kuzianua nguo hizo.

Tunatoa Huduma ya Kutengeneza na kuendeleza Website na Blogs for free

Blog hii ya USCF-SJUT imetengenezwa na inaendelezwa na Joel Elphas kwa kushirikiana na USCF-SJUT. kwa mawasiliano kuhusiana na kuendeleza Blog hii wasiliana nae kwa namba 0757 755 228 au 0655 755 228 au elphasjoel@yahoo.com Pia tunatoa huduma za kutengeneza Website kwa bei nafuu pamoja na Blog

MAOMBI YENYE UWEZO WA KUPASUA ANGA

Moja kati ya silaha kuu, ambayo inamwezesha mtoto wa Mungu kushinda vita dhidi ya majeshi ya giza, ni maombi. Hofu kubwa kwa shetani na majeshi yake, ni pale anapokuwapo mtu mwenye nguvu ya kuzalisha maombi yaletayo moto, na hatimaye kuleta athari kubwa sana katika ufalme wa giza.

Tuesday, February 23, 2016

MAMBO MUHIMU YA KUFANYA KWA WANA USCF-SJUT NA WAPENDWA WANAKARIBISHWA SANA

Tunakusalimu katika Jina la Yesu kristo aliye hai,ungana na huduma ya USCF SJUT KUSHIRIKI KATIKA MAMBO YAFUATAYO ;
1.MAOMBI KWA AJIRI YA MITIHANI(UE)
Maombi haya yatafanyika kuanzia jumatano 24-26/02/2016 tutakutana chapel saa sita mchana kwa muda wa siku zilizoainishwa hivyo mtumishi ukiweza funga lakini kama hauwezi hauzuiliwi kushiriki.TAMANI SANA KUOMBA PASIPO KUKOMA MAANA ADUI HALALI HIVYO NI LAZIMA TUANGAMIZE KWA MAOMBI ROHO ZINAZO ZUIA MAFANIKIO YETU.(MATHAYO18:18)

2.PIA WATUMISHI TUJIANDAE KWA KAMBI MAALUMU YA MAOMBI BAADA YA MITIHANI YOTE KUISHA,KAMBI HII ITATUINUA KWA VIWANGO VYA JUU SANA KIROHO USITAMANI KUKOSA MAELEKEZO YATAZIDI KUTOLEWA NAMNA KAMBI IYAKAVYO ENDESHWA.

3.USCF ST.JOHN INAPENDA KUWATAKIA MAANDALIZI MEMA NA MITIHANI IJAYO KWA WANA SJUT WOTE,MUNGU AWABARIKI SANA KATIKA MASOMO YENU NA KAZI MNAZOZIFANYA KWA AJIRI YA HUDUMA YA MUMGU ALIYE HAI.





     TUNAWATAKIA BARAKA ZA MUMGU ZIWAFUNIKE KATIKA MAHITAJI YENU WAPENDWA-------USCF-PRCR KWA NIABA YA MWENYEKITI USCF-SJUT.
                       EZRA10:4
Share:

Saturday, February 20, 2016

TAARIFA KUHUSU VITAMBULISHO

Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika bwana. Napenda kuwataarifu wote waliopiga picha za vitambulisho siku zilizopita waje wavichukue vipo tayari ofisi ya CHAPEL.Pia ambao bado hawajapiga picha mnakaribishwa ili muweze kupata vitambulisho vya uanachama wa USCF.










                                             USCF-PRCR
Share:

Tuesday, February 16, 2016

huduma ya ibada moravian iringa road 14/2/2016 kwaya na michael george mhubiri


Share:

USCF-SJUT NEWS

Designed by Joel Elphas @ 2015. Powered by Blogger.

Recent Posts