PICHA ZA WANA USCF-SJUT KATIKA TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

MGENI RASMI AKIBARIKI DVD ZA ALBAMU YA" MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO"(kulia)TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

SHEREHE YA KUWAAGA WAHITIMU WANAKWAYA 24 JULY, 2015.

Uongozi wa the New Jerusalem choir ya USCF-CCT St. John's University of Tanzania Tunapenda kuwashukuru wote mliojumuika pamoja nasi kuwaaga wanakwaya wahitimu walionza masomo yao mwaka 2011 na 2012,

KUTIMIA KWA UNABII WA NYAKATI ZA MWISHO

Dalili ya Mvua ni mawingu, hivyo kwa mtu mwenye busara, aliyeanika nguo zake nje anapoona tu mawingu yametanda kila mahali, anajua kwamba mvua wakati wowote inaweza kunyesha, na hakika atafanya haraka kwenda kuzianua nguo hizo.

Tunatoa Huduma ya Kutengeneza na kuendeleza Website na Blogs for free

Blog hii ya USCF-SJUT imetengenezwa na inaendelezwa na Joel Elphas kwa kushirikiana na USCF-SJUT. kwa mawasiliano kuhusiana na kuendeleza Blog hii wasiliana nae kwa namba 0757 755 228 au 0655 755 228 au elphasjoel@yahoo.com Pia tunatoa huduma za kutengeneza Website kwa bei nafuu pamoja na Blog

MAOMBI YENYE UWEZO WA KUPASUA ANGA

Moja kati ya silaha kuu, ambayo inamwezesha mtoto wa Mungu kushinda vita dhidi ya majeshi ya giza, ni maombi. Hofu kubwa kwa shetani na majeshi yake, ni pale anapokuwapo mtu mwenye nguvu ya kuzalisha maombi yaletayo moto, na hatimaye kuleta athari kubwa sana katika ufalme wa giza.

Friday, March 18, 2016


Share:

PICHA ZA KAMBI ZA MAOMBI



Share:

SHUKURANI NA PICHA

                                          TUNAWASHUKURU SANA KWA KUSHIRIKI
                                          KATIKA KAMBI YA MAOMBI
Share:

Wednesday, March 9, 2016

TAARIFA KWA WANA USCF SJUT

Tunakusalimu katika jina la Yesu kristo aliye hai.

1.MTUMISHI WA MUNGU KAMBI YETU YA MAOMBI ITAANZA IJUMAA SAA 2:00 USIKU HADI JUMATATU ASUBUHI(11-14/MARCH/2016)ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA MORAVIAN IRINGA ROAD.MPENDWA TUNAKUKARIBISHA SANA KATIKA HUDUMA HII MAANA TUNAYOSABABU KUBWA MUNO KUSHIRIKI NAWE KATIKA HUDUMA HII KAMA BWANA ALIVYO TUAHIDI TUIDENDE KAZI YAKE KWA USHIRIKIANO (TAZAMA,JINSI ILIVYO VEMA NA KUPENDEZA,NDUGU WAKAE PAMOJA,KWA UMOJA.ZABURI 133:1).TUNAKUKARIBISHA SANA USIKOSE MAANA HAKUNA GHARAMA YA PESA GHARAMA YAKE NI WEWE KUFIKA NA KUSHIRIKI KATIKA HUDUMA HII.

2.WAHITIMU AMBAO HAWAJALIPIA GHARAMA YA CHETI MWISHO NI IJUMAA HII(11/3/2016) WEWE KAMA BADO JITAHIDI MAANA HAKUNA MUDA UTAKAO ONGEZWA KWA AJIRI YA JAMBO HILI HIVYO NI MUHIMU SANA KUKAMILISHA LIPA KWA KIONGOZI NDANI YA MUDA PIA MKUMBUSHE NA RAFIKI YAKO.







TUNAWATAKIA BARAKA ZA MUNGU ZIWAFUNIKE KATIKA MAJUKUMU YENU ZAIDI TUISHI KATIKA PENDO LAKE KRISTO.
                 LIKIZO NJEMA.
Share:

USCF-SJUT NEWS

Designed by Joel Elphas @ 2015. Powered by Blogger.

Recent Posts