PICHA ZA WANA USCF-SJUT KATIKA TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

MGENI RASMI AKIBARIKI DVD ZA ALBAMU YA" MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO"(kulia)TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

SHEREHE YA KUWAAGA WAHITIMU WANAKWAYA 24 JULY, 2015.

Uongozi wa the New Jerusalem choir ya USCF-CCT St. John's University of Tanzania Tunapenda kuwashukuru wote mliojumuika pamoja nasi kuwaaga wanakwaya wahitimu walionza masomo yao mwaka 2011 na 2012,

KUTIMIA KWA UNABII WA NYAKATI ZA MWISHO

Dalili ya Mvua ni mawingu, hivyo kwa mtu mwenye busara, aliyeanika nguo zake nje anapoona tu mawingu yametanda kila mahali, anajua kwamba mvua wakati wowote inaweza kunyesha, na hakika atafanya haraka kwenda kuzianua nguo hizo.

Tunatoa Huduma ya Kutengeneza na kuendeleza Website na Blogs for free

Blog hii ya USCF-SJUT imetengenezwa na inaendelezwa na Joel Elphas kwa kushirikiana na USCF-SJUT. kwa mawasiliano kuhusiana na kuendeleza Blog hii wasiliana nae kwa namba 0757 755 228 au 0655 755 228 au elphasjoel@yahoo.com Pia tunatoa huduma za kutengeneza Website kwa bei nafuu pamoja na Blog

MAOMBI YENYE UWEZO WA KUPASUA ANGA

Moja kati ya silaha kuu, ambayo inamwezesha mtoto wa Mungu kushinda vita dhidi ya majeshi ya giza, ni maombi. Hofu kubwa kwa shetani na majeshi yake, ni pale anapokuwapo mtu mwenye nguvu ya kuzalisha maombi yaletayo moto, na hatimaye kuleta athari kubwa sana katika ufalme wa giza.

Sunday, May 29, 2016

NJINSI YA KUMUTUMIKIA MUNGU ALIYE HAI

Bwana asifiwe mwana wa Mungu,napenda tushirikiane katika neno hili(NJINSI GANI YA KUMUTUMIKIA MUNGU ALIYE HAI).

KUPITIA JUHUDI ZAKO KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU INAWEZEKANA UMEPAMBANA NA MAZINGIRA MAGUMU KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU AMBAYO NDANI MWAKO UMEPEWA INAWEZEKANA IKAWA NI UIMBAJI,KUHUBIRI,SHUHUDA,KUTUNZA WATUMISHI WA MUNGU,KUWAJALI WASIOJIWEZA  YAANI YATIMA NA WAJANE NA KAZI ZINGINE ZA KIROHO NA ZA KIMWILI AMBAZONI HALALI KWA MUNGU WA MBINGUNI.

KATIKA KUZIFANYA KAZI ZA MUNGU NI LAZIMA UWE NA SILAHA ZIFUATAZO AMBAZO ZITAKUSAIDIA KUMUTUMIKIA MUNGU KWA UAMINIFU:
1.KUWA TAYARI WAKATI WOTE
MTUMISHI WA MUNGU TUMIKA WAKATI WOTE HAIJALISHI UKO WAKATI WA DHIKI AU WAKATI WA RAHA,MUNGU ANAPENDA WATU WANAOMWAMINI MUNGU WASIMAME KUMTUMIKIA HATA WAKATI AMBAO NI MGUMU KWAO ILI AWEZE KUJUA NI KWELI WANAMWAMINI KATIKA  KAZI ALIZOWAPA,MFANO MTUME PAULO ANASEMA KATIKA  2TIMOTHEO4:2 UWE TAYARI WAKATI UKUFAAO NA WAKATI USIOKUFAA.KUPITIA KITABU HIKI MTUMISHI SIMAMA WAKATI WOTE UFANYE KAZI YA BWANA NA MUNGU ATASHUKA KATIKA WAKATI AMBAO WEWE UNAONA HAUWEZI ILI BARAKA ZA MUNGU ZIWE NAWE SIMAMA IMARA WAKATI WOTE KATIKA YA MUNGU UNAYOIFANYA.

2.KUWA MVUMILIVU
SIMAMA KWA UVUMILIVU KATIKA KAZI YA MUNGU UNAYOIFANYA MAANA KATIKA KUVUMILIA MUNGU ATAKUBARIKI KWA KIWANGO CHA JUU SANA MFANO MWANGALIYE AYUBU ALIVYO VUMLIA MATESO MPAKA AKASHINDA HIVYO NAWE VUMILIA KWA UAMINIFU KATIKA KAZI YAKO(2TIMOTHEO4:2)

3.KUWA NA KIU YA HAKI KATIKA KAZI YA MUNGU UNAYOIFANYA.
"ISAYA55:1"MTUMISHI TAMANI KIU YAKO IFURIKWE NA MUNGU WA MAJESHI ALIYE HAI,KATIKA KILA HUDUMA UNAYOIFANYA TAMANI MUNGU AKUJAZE NA KIU YA HAKI ILI UENDELEE MBELE MAANA KIU YA HAKI ITAKUFANYA USIANGUKE  MAANA KATIKA KIU YAKO UTAMWITA MUNGU KWA UAMINIFU MNO KATIKA KAZI UNAYOIFANYA.


HIZI SIRAHA MPENDWA ZITAKUFANYA UIFANYE KAZI YA MUNGU KWA UAMINIFU NA KANISA LITAENDELEA MBELE.
               MUNGU AWABARIKI SANA KATIKA KAZI YA MUNGU UNAYOIFANYA .
                  EZRA 10:4.
  
                     "MWALIMU EMMANUEL ZAKAYO"
                                      
Share:

USCF-SJUT NEWS

Designed by Joel Elphas @ 2015. Powered by Blogger.

Recent Posts