PICHA ZA WANA USCF-SJUT KATIKA TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

MGENI RASMI AKIBARIKI DVD ZA ALBAMU YA" MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO"(kulia)TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

SHEREHE YA KUWAAGA WAHITIMU WANAKWAYA 24 JULY, 2015.

Uongozi wa the New Jerusalem choir ya USCF-CCT St. John's University of Tanzania Tunapenda kuwashukuru wote mliojumuika pamoja nasi kuwaaga wanakwaya wahitimu walionza masomo yao mwaka 2011 na 2012,

KUTIMIA KWA UNABII WA NYAKATI ZA MWISHO

Dalili ya Mvua ni mawingu, hivyo kwa mtu mwenye busara, aliyeanika nguo zake nje anapoona tu mawingu yametanda kila mahali, anajua kwamba mvua wakati wowote inaweza kunyesha, na hakika atafanya haraka kwenda kuzianua nguo hizo.

Tunatoa Huduma ya Kutengeneza na kuendeleza Website na Blogs for free

Blog hii ya USCF-SJUT imetengenezwa na inaendelezwa na Joel Elphas kwa kushirikiana na USCF-SJUT. kwa mawasiliano kuhusiana na kuendeleza Blog hii wasiliana nae kwa namba 0757 755 228 au 0655 755 228 au elphasjoel@yahoo.com Pia tunatoa huduma za kutengeneza Website kwa bei nafuu pamoja na Blog

MAOMBI YENYE UWEZO WA KUPASUA ANGA

Moja kati ya silaha kuu, ambayo inamwezesha mtoto wa Mungu kushinda vita dhidi ya majeshi ya giza, ni maombi. Hofu kubwa kwa shetani na majeshi yake, ni pale anapokuwapo mtu mwenye nguvu ya kuzalisha maombi yaletayo moto, na hatimaye kuleta athari kubwa sana katika ufalme wa giza.

Monday, December 7, 2015

HUDUMA YA KUWASOMESHA WATOTO WASIOJIWEZA

Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo. USCF-SJUT tunayo huduma ya kuwasomesha watoto wasiojiweza ambapo mpaka hivi sasa tunao watoto 3 tunao wasomesha na kuwalea Kiroho. Kati ya hao watoto 3, watoto 2 wanasoma kidato cha kwanza, mmoja anasoma shule ya Kikuyu sekondari iliyopo Dodoma na mwengine anasoma shule ya Mtwara Tech. sekondari iliyopo mkoani Mtwara na mwengine anasoma shule darasa la 4 shule ya msingi Kikuyu mkoani Dodoma ambae pia ni mlemavu wa ngozi (Albino).
Uongozi unapenda kukukaribisha wewe upendwaye na Yesu kutoa mchango wa fedha kiasi chochote kile kadri Mungu alivyokubariki kwaajili ya kuhakikisha huduma hii njema inasonga mbele. Kama huduma tunaendelea kujitahidi kuwasomesha watoto hawa lakini kwa wewe kushiriki kwako kutafanyika Baraka sana kama Mlezi wa watoto hawa.
Unaweza kutuma kiasi chochote cha fedha na kitapokelewa. Tuma kwa Mhazini USCF-SJUT (Trezia Mbukwa) kwenye namba za simu zifuatazo:-
Tigo-0652547094
Vodacom-0766607948.
Mungu wa Mbinguni akubariki sana kwa moyo wa utayari ulio nao. Hakika tunamwamini Mungu ataikumbuka sadaka yako. YAKOBO 1:27
Share:

USCF-SJUT NEWS

Designed by Joel Elphas @ 2015. Powered by Blogger.

Recent Posts