PICHA ZA WANA USCF-SJUT KATIKA TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

MGENI RASMI AKIBARIKI DVD ZA ALBAMU YA" MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO"(kulia)TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

SHEREHE YA KUWAAGA WAHITIMU WANAKWAYA 24 JULY, 2015.

Uongozi wa the New Jerusalem choir ya USCF-CCT St. John's University of Tanzania Tunapenda kuwashukuru wote mliojumuika pamoja nasi kuwaaga wanakwaya wahitimu walionza masomo yao mwaka 2011 na 2012,

KUTIMIA KWA UNABII WA NYAKATI ZA MWISHO

Dalili ya Mvua ni mawingu, hivyo kwa mtu mwenye busara, aliyeanika nguo zake nje anapoona tu mawingu yametanda kila mahali, anajua kwamba mvua wakati wowote inaweza kunyesha, na hakika atafanya haraka kwenda kuzianua nguo hizo.

Tunatoa Huduma ya Kutengeneza na kuendeleza Website na Blogs for free

Blog hii ya USCF-SJUT imetengenezwa na inaendelezwa na Joel Elphas kwa kushirikiana na USCF-SJUT. kwa mawasiliano kuhusiana na kuendeleza Blog hii wasiliana nae kwa namba 0757 755 228 au 0655 755 228 au elphasjoel@yahoo.com Pia tunatoa huduma za kutengeneza Website kwa bei nafuu pamoja na Blog

MAOMBI YENYE UWEZO WA KUPASUA ANGA

Moja kati ya silaha kuu, ambayo inamwezesha mtoto wa Mungu kushinda vita dhidi ya majeshi ya giza, ni maombi. Hofu kubwa kwa shetani na majeshi yake, ni pale anapokuwapo mtu mwenye nguvu ya kuzalisha maombi yaletayo moto, na hatimaye kuleta athari kubwa sana katika ufalme wa giza.

Sunday, July 26, 2015

COMMUNITY SERVICE 26/07/2015 NA KUOMBEA NEW PRODUCT YA WANAFUNZI WAHITIMU 2015 & MITIHANI (UE)

Leo tarehe 26 mwezi wa saba 2015 siku moja kabla ya kuanza mitihani ya mwisho wa muhula wa pili kwa mwaka wa masomo 2014/2015, imefanyika ibada ya pamoja katika ukumbi wa chuo MH.


Ibada hii ya pamoja kwa fellowship zote za kikiristo ilikuwa ni kwaajili ya kuwaombea wahitimu wanaohitimu mwaka huu kwenda kulitumikia taifa pamoja na maombi kwaajili ya mitihani inayoanza jumatatu ya kesho tarehe 27/5/2015.



Cannon MATONYA amefundisha neno la MUNGU na kuwataka wahitimu wote kuwa wakalitumikia taifa kwa uaminifu na kwa upande mwingine kwa wale wanaobaki na wanaohitimu waendelee kumsikiliza na KUMSHUKURU Mungu kwa mambo makubwa anayoyatenda katika maisha. 


ZABURI 108:3-5 na WAFILIPI 4:8.

Share:

Saturday, July 25, 2015

SHEREHE YA KUWAAGA WAHITIMU WANAKWAYA 24 JULY, 2015.

Uongozi wa the New Jerusalem choir ya USCF-CCT St. John's University of Tanzania  Tunapenda kuwashukuru wote mliojumuika pamoja nasi kuwaaga wanakwaya wahitimu walionza masomo yao mwaka 2011 na 2012, na wengi wao ndio waanzilishi wa kwaya hii kama vile STANLEY SIMON wakati USCF CCT inaanzishwa SJUT, mwaka 2012. Tunawatakia heri na mafankio mema wahitimu wote na MUNGU  awatangulie.

BY: ZABRON DAUD
M/KITI-KWAYA



Share:

Wednesday, July 22, 2015

SEMINA SEMINA SEMINA SEMINA

SHALOM!
USCF-CCT SJUT INAWAKARIBISHENI WOTE KWENYE SEMINA YA NENO LA MUNGU ITAKAYOANZA
TAREHE 22/07/2015 (JUMATANO) HADI TAREHE 24/07/2015 (IJUMAA).
MTUMISHI WA MUNGU CANNON CHITETO (UNIVERSITY ASSISTANCE CHAPLAIN) ATAHUBIRI. Alika na wenzako tujifunze pamoja habari hizi njema za MUNGU
Usitamani kukosa.

 


Share:

Tuesday, July 21, 2015

PICHA ZA WANA USCF-SJUT KATIKA TUKIO LA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOIR YA NEW JERUSALEMU TAREHE 5/7/2015

 MGENI RASMI AKIBARIKI DVD ZA ALBAMU YA" MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO"(kulia)

ASSOCIATES WA USCF AMABO WALIANZISHA KWAYA HII YA USCF-CCT SJUT
 MKUU WA CHUO AKIKATA KEKI (katikati) na pemebeni ni TUSEKILE JEFF & JAQUELINE MALECELA


 TUSEKILE AKITAYARISHA KEKI YA UZINDUZI
 ZABRON DAUD NA SUBIRA ARONI(wanakwaya)
 Dada nizamu wa kwaya akimlisha keki rafiki yake ambaye ni Mtunza hazini wa kwaya

 mratibu mstaafu wa maombi akiliswa keki
BROTHER USCF-CCT SJUT akipiga kinanda siku ya uzinduzi naye ni associates kama MWL wa kwanza wa kwaya hii
 WANAKWAYA YA "THE NEW JERUSALEM CHOIR"










Share:

Saturday, July 18, 2015

TANGAZO KWA WOTE

                                                TANGAZO               TANGAZO
Uongozi wa USCF_CCT St. John's University of Tanzania tunapenda kuwashukuru wale wote mlioshiriki kwa namna ya pekee kukamilisha tukio la tarehe 5/07/2015 la uzinduzi wa albamu ya kwanza ya video ya kwaya yetu ya THE NEW JERUSALEM CHOIR, Jina la album inaitwa "MUNGU KWETU SISI NI KIMBILIO". Mgeni rasmi alikuwa ni makamu mkuu wa chuo (VC) PROF. MBENAH, Sisi tunasema Mungu awabariki sana hatuna cha kuwalipa lakini Mungu atawakumbuka wote yaani kila mmoja kwa kwa sadaka yake aliyotoa kwa MungU.

KESHO TAREHE 19/07/2015  wana USCF wote tutaabudu  ibada ya pamoja katika chuo cha TRUST eneo la nzuguni ni chuo cha AGRICULTURE AND REAEARCH.



Share:

USCF-SJUT NEWS

Designed by Joel Elphas @ 2015. Powered by Blogger.

Recent Posts